Saturday, October 20, 2012

Mastar wetu wa BONGO ambao ndio VIOO vya jamii... (BASATA IKO WAPI?!?!)



MAUNDA ZORO (mwanamuziki)

Kirusi cha ajabu kinachowashambulia mastaa wa kike nchini na kuwasababisha ‘maradhi’ ya kutembea nusu uchi kinazidi kushika kasi, wanaoambukizwa ni wengi kiasi ambacho wazima wanahesabika hata hesabu ya kutumia kiganja cha mkono.



UWOYA..  (bongo movie)

Tabia ya warembo mastaa Bongo kupenda kuvaa nusu uchi, inakemewa na wanaharakati pamoja na Watanzania kwa jumla, huku maswali mengi pamoja matamko ya kukemea yakichukua nafasi hata kwenye mikutano inayoitishwa na taasisi za serikali.
Maswali ambayo yamekuwa yakichukua nafasi katika muktadha ni kama; Haiwezekani kuwa staa bila kukaa uchi? Ni fasheni za ulimbukeni? Ufuska?

SHAMSA FORD (bongo movie)

Hoja ya warembo mastaa kutawaliwa na utamaduni wa kutinga viwalo vinavyoacha nje sehemu kubwa ya ustaarabu wao, ilichukua nafasi kwenye mkutano ulioitishwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambao uliwashirikisha wadau kwa lengo la kufanya tathmini ya shindano la Miss Kisura.

nancy sumari-former miss tanzania

Mkutano huo, ulifanyika Mei 21, 2012 kwenye Ukumbi wa BASATA ambapo wakati wa tathmini, wajumbe walizungumza kwa mkazo jinsi utamaduni wa Mtanzania unavyopotea kwa warembo kutotaka kuendelea kuvaa mavazi yenye staha.
The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda lilikuwepo ukumbini na kujionea jinsi wadau wanavyochukizwa na tabia ya warembo wanaobahatika kuwa na majina makubwa, kukiathiri kizazi kipya kwa mavazi yenye alama za uhuni.



MAUNDA.. (bongo movie)

Wajumbe, walilijadili hilo kwenye kipengele kilichosema “Warembo kuwa mfano wa kuigwa (role model)” ambapo wengi wao waliwatilia mashaka kutokana na jinsi jamii inavyoshindwa kujifunza chanya kutoka kwao.
Mbali na huo, mkutano mwingine uliondaliwa pia na BASATA kwa lengo la kutathmini mashindano ya Miss Tanzania na kufanyika kwenye Hoteli ya Giraffe, Dar, hoja hiyo iliibuliwa tena lakini haikupewa nguvu kama ilivyotokea Miss Kisura.



AUNT EZEKIEL

Pointi ambazo wanazisimamia warembo hao katika kuhalalisha mavazi yao ni mbili kwamba Dar kuna joto, kwahiyo wanajiacha wazi ili ‘kuvuna’ hewa, huku wengine wakidai wanakwenda na wakati.
Warembo hao, wamekuwa sugu kuelewa makatazo ya kuvaa mavazi yanayowanyima uhuru, licha wanaharakati kuzungumza pamoja na viongozi mbalimbali wa dini.


LULU MICHAEL...

Mmoja kati ya warembo ambao wana ‘skendo’ ya kuvaa kihasara ni mwanamuziki wa R&B, Maunda Zorro ambaye picha yake ya hivi karibuni, inaonesha jinsi alivyo mwana asiyependa kujistiri.
Maunda, alipigwa picha Mei 14, 2010 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee wakati wa utoaji Tuzo za Kili 2009 ambapo licha ya kuwazi sehemu kubwa ya mwili wake, bado hakuona aibu kumkumbatia baba yake mzazi, mkongwe Zahir Ally Zorro.

WEMMA

Muigizaji chipukizi, Jacqueline Wolper naye yumo kwenye ‘listi’, mara kadhaa Ijumaa Wikienda limeweza kumnasa akiwa kwenye muonekano wa kihasara hasara.
Aidha, gazeti hili lina picha mpya zaidi ya msanii huyo akiwa wazi shemu kubwa ya kuanzia shingoni hadi kiunoni ambayo inapatikana ukurasa wa kwanza wa toleo hili.




HUSNA...

Muigizaji Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ hasahauliki kutokana na staili yake ya kupenda kuonesha matiti kwa kuyabinua na jibu lake kuhusiana na mtindo huo ni kwamba ana nyonyo nzuri ndiyo hazibanii kuonekana.
Warembo wengine wenye ‘maradhi’ ya kukaa na kutembea nusu uchi ni Aunt Ezekiel ‘Gwantwa’, Maimartha Jesse ‘Oprah wa Bongo’, Irene Uwoya, Blandina Chagula ‘Johari’, Isha Ramadhan ‘Mashauzi’ na Khadija Shaibu ‘Dida’.


JACKLINE WOLPER

Wengine ni Mayasa Mrisho ‘Maya’, Jacqueline Patrick, Jacqueline Pentezel, Miriam Jolwa ‘Kabula’, Maureen Gislary, Mboni Masimba, Susan Chubwa ‘Queen Suzy’, Doreen Aurelian Ponera ‘Pipi’ na wengineo wengi.

Riyama (Bongo movie)

   
SHILOLE... (mwanamuziki/ bongo muvie)




BABY MADAHA (mwanamuziki/movie)

SKAINA (bongo movie)


RACHEL Haule ‘Recho’ (bongo movie)

FROLA MVUNGI (bongo movie)







fide iranga-model

Afande Sele

NAKAAYA


SALMA JABU 'NISHA'


ISABELA (Mshiriki Miss Tanzania mwaka 2006)




Aunt LULU...

Rayuu (bongo movie)

PICHA CHAFU ZA WASANII : NORA WA BONGO MOVIE NAYE NI MIONGONI MWA WASANII WA KWANZA KUPIGA PICHA ZA UTUPU
NORAH  (bongo movie)




JACK CHUZI (bongo movie)

RAY C

RAY C (mwanamuziki)

JINI KABULA (bongo movie)


Hawa Msuya (mshiriki wa Shindano la Kimwana Manywele 2011/12)

MARRY JOHN 'MAUA'






JACK PATRICK (miss & bongo movie)

UPENDO MUSHI (wa maisha plus)

Jacqueline Dastan ‘Jack Maisha Plus’

JOH MAKINI (mwanamuziki)





Esha Salimu Buheti
(Aliyecheza Movie za Mrembo Kikojozi,Kisasi cha Utata na Samantha)


ROSE NDAUKA  NA MAYA.....

KOLETA

WALIOVUNJA REKODI......

...kulia kwake ni unga..bila shaka ulimpotezea kumbukumbu

Tarehe 18  may, 2010 tangu picha hizi zianze kusambaa mitandaoni,Aisha alifunguka  kuwa  picha hizi ni za kutengenezwa.

Mtandao wa Global publisher ulimtaka Asha awathibitishie watanzania kuwa picha hizi si zake lakini alishindwa kuthibitisha  kuwa picha hizo ni za kutengeza, zilitengnezwa wapi na lini na vigezo gani vinavyoonesha picha hizo ni za kutengeneza.

Ushahidi wa Global kuwa, picha hizo ambazo za mnato na video ni za Aisha mwenyewe upo wazi na hakuna shaka yoyote.....
NI TAMAA ZA   WASANII  WA BONGO NA ULIMBUKENI WAO!!
.Hata hivyo, sehemu kubwa ya picha za mnato na video hizo zinaonesha wazi kwamba, Aisha alikuwa tayari kupigwa picha hizo, kwani kuna wakati alikuwa akitazama kamera na nyingine akiwa ameweka pozi...

Mara baada ya kutua Bongo akitokea Afrika Kusini, alimwangukia bosi wake, Asha Baraka akimwomba radhi kwa yote aliyoyafanya Afrika Kusini .

Katika habari hiyo, Asha Baraka  alinukuliwa akisema kuwa, anaamini Aisha aliteleza na hivyo ameamua kumsamehe na kumrudisha kundini kuendelea kupiga mzigo kama kawa.
....ntajua ntakachowaeleza watanzania...
 

BAADA ya kuandamwa na skendo kibao za kutoka na vigogo kisura wa video za wasanii wa bongo, Agnes Gerald maarufu kama Agnes Masogange, ameonekana kwenye mkanda wa picha ya ngono ambao umesambaa mtaani huku ikiwa dili kwa watu wanaotaka kuona umbo la mwanadada huyo.

Mkanda huo unaomuonesha mwanadada huyo akiwa mtupu, huku utata mkubwa ukizunguka kujua ni kitu gani kilichosababisha hadi kusambazwa kwa video hiyo.



  Mwandishi mmoja wa mtandao wa udaku hapa nchini alifanikiwa kupata video hiyo ambayo mwanadada huyo ameonekana na kijana mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake. 

Baada ya kupatatikana kwa video hiyo mtandao huo ulijaribu kumsaka Agnes ili kufafanua uwepo wake ndani ya video hiyo lakini hakuweza kupatikana kwenye simu yake .