Sunday, February 12, 2012

offisin...

Jamaa aliona hana kazi offisini hivyo akaamua ampigie simu secretary ili amzingue... Kwa bahati mbaya alikosea na kumpigia simu bosi wake....

Jamaa: "Oya we mpuuzi lete chai vikombe viwili haraka mezani kwangu na chapati 3..!!!"
Bosi: "Hivi unajua unaongea na nani??!"

Jamaa baada ya kugundua kampigia bosi wake akaa kimya....
Bosi: "Nauliza hivi... Unajua unaongea na nani??!"

Jamaa (Kwa kuzuga ikabidi tu ajibu...): "Hapana..."
Bosi: "Mimi ni bosi wako humu ndani..."

Jamaa (Akakaza sauti na yeye): "Hivi na wewe unajua unaongea na nai??!"
Bosi: "Hapana, nani wewe?!"

Jamaa(Kwafuraha zaidi): "Daaaaah, asante MUNGU!!!!"
Then akakata simu!!!!!

No comments:

Post a Comment