Sunday, February 12, 2012

Tangazo kwa wachaga wote.

Chuo kipya kabisa cha kichaga (CHAGGA TECHNICAL COLLEGE) kinatangaza kozi mpya kwa mwaka wa masomo 2011/2012 kama ifuatavyo..
1.) UBAHILI Miezi 3.
2.) ULEVI miezi 2. 
3.) KUUZA DUKA mwezi 1.
4.) KUACHA WAKE VIJIJINI miezi 4.
5.) KUENDESHA PIKIPIKI wiki 2.
6.) KUSOGEZA MIPAKA YA SHAMBA LA JIRANI miezi 6.
7.) UTAPELI wiki 2.

Atakayejiunga mapema atapewa ofa kozi ya kupika mbege na kutembeza Ndizi BUREEE!!! Wahi nafasi ni chache... Nyote MNAKARIBISHWA!!!!

No comments:

Post a Comment