Wednesday, March 28, 2012

nyani alichoka kuishi

Siku moja nyani alichoka kuishi akatafuta all means ya kujiua akashindwa!akamfata simba alielala na kumchokoza ili aliwe afe!basi alienda akamtia kidole" NYUMA"mpka simba akaamka.simba akauliza..ni nan huyo?NYANI:ni mimi..!simba akauliza,kuna yeyote kaona?NYAN:hapana..!SIMBA:basi fanya tena..!

No comments:

Post a Comment