Thursday, January 26, 2012

Mlevi...

Walevi walikuwa wanasikiliza taarifa ya habari kuhusu mambo ua uzazi nchini China; Msomaji wa habari alikuwa anaelezea kama ifuatavyo: Uko Uchina kila dakika moja kunazaliwa mtoto...!

Mlevi: he!he!he! ndio ujuwe hao watu wameendelea na ndo kuna wanaume na wanawake wa shoka huko, sio wanawake wetu hapa wanabeba mimba kila miezi tisa ndo mana tupo nyuma...!

No comments:

Post a Comment