Sunday, January 29, 2012

TILALILA

Kuna jamaa mmoja alikuwa ''TILALILA'' fulu chicha ile laana adi mida ya saa9 za ucku! sasa wakati alipotaka kurejea nyumban kwake ikambidi akachukue gari lake aondoke. Mmmh! tuwe makin wakat mwengine jaman bac jamaa akajikuta kapiga cmu police analalamika walinzi wa hotelin hapo alipokuwa akinywa ni wazembe na wamesababisha kaibiwa SAIT MIRA, DASH BODY, GIA BOX na STARLING ya gari yake: Basi police haraka haraka wakafika eneo la tukio, wakamuona mzee akishuka kutoka ktk gari yake akiwa anayumba ile mbaya bac police ikabid wamuulize yule mzee tena taaratibu na upole wa hali ya juu, mzee wetu kulikon ebu tueleze ilikuwaje...? Jaman chonde chonde tuwe makin, Yule MZEE akasema tena taaratibu na kwa upole...''AAAH! WAZEE, SAMAHANINI BANA KUMBE NILIKUWA NIMEINGIA NYUMA KWENYE VITI VYA ABIRIA SASA SIKUONA GIA BOX, STARLING, SAIT MIRROR PAMOJA NA DASHBODY YANGU'' hehehee sasa sijui ni nn kilichoendelea huko mbelen baadae. Ingekuwa ni wewe cjui ungewaambia nini...?

No comments:

Post a Comment