Thursday, January 26, 2012

Mama na Bintie

Binti:Mama wale
mateja watu wabaya xana MAMA:wamekufanyaje mwanangu? BINTI:Niliwaomba waniangulie maembe mtini
wakaniambia nipande mwenyewe MAMA:Pumbafu zao walitaka wakuchungilie chuPI
YAKO BINTI:WEEE¡,unadhan me cna akili? MAMA:ulifanyaje? BINTI:Niliwakomesha,niliivua chupi nikaificha
mfukönii..."


No comments:

Post a Comment