Sunday, January 29, 2012

CHIZI

Dokta Milembe kaingia ward moja kakuta machizi wawili. Mmoja alikuwa anaact anakata kibao kwa vipande viwili na mwingine akining'inia juu ya dali miguu juu kichwa chini... 
Dokta: unafanya nini?
Chizi: nakata kibao wee huoni?
Dokta: ooh namwenzako vipi mbona ananing'inia?
Chizi: aah mwache huoni huyo chizi anadhani yee taa..
Bac yule chizi aliekuwa juu akamind sana
Dokta: bac mtoe mwenzako?
Chizi: wee kweli chizi unadhani nkimtoa mwanga usiku ntapata wapi?

No comments:

Post a Comment