Thursday, January 26, 2012

"JAMANI UKIWA MWIZI BASI USIWE MWOGA"

Unajua kwa nn...??? bac isome hii.
Ni ktk mitaa flan hiv mzee m1 anakatisha ktk kijiwe flan mara kufika mbele anajipiga sachi haoni simu yake kumbe amedondosh hapo kijiwen na machiz wakaibana. kilichofata ikabid arudi nyuma mpaka hapo kijiwen kisha akawauliz vijan hamjaokota sim.., wa2 hapan mzee, wakauliza kwan niyaumuhim sana, mzee akajib ndiyo ila kwa vile hamjaiona bac ngoja nikafanye km babu alivyofanya alipoibiwa kanzu yake. mzee akasepa, vijan woga m2pu anaenda kufanya dumba nn??, mara wakamwita mzee samahan sim yako ndio hii, mzee haswaaa ndo yenyew, vijan wakataka kujua kwan babu yako alifanya nn alipoibiwa kanzu yak.? yule mzee akawajib alienda dukan kununua kanzu mpya na mm nilikua naelekea dukan nikanunue sim nyingine. vijan wakasema..haaaaa mzee sio sim yako 2likutania.
so smetym uoga co ishuuuuuu bt don try...

No comments:

Post a Comment