Saturday, January 28, 2012

Sharobaro..

Sharobaro anaandika barua taratiiiiiibu...

Mwenzake aliyekuwa akimsubiria post office akiwa na haraka akamuuliza...
"Oya mbona unaandika taratibu sana iyo barua?!?"

Sharobaro akajibu...
''Ebwana daaah!!! Demu mwenyewe ninaemuandikia wa form 2 nini, kwa hiyo, hawezi kusoma kiingereza kwa haraka nini... Si unajua!!!''

No comments:

Post a Comment