Sunday, January 29, 2012

KUKU

Mzee mmoja alimwona mwanae akichezea matope;
MZEE: "We kuku unafanya nn hapo?!"

MTOTO: "Mie sio kuku baba, mie kifaranga tu... Kuku ni ww na mama, na hv kesho Xmass labda mshnde ndani ndo mtapona la cvvyo mtachnjwa..."

MZEE: "We mtoto mwanaharam kwel yani mie na mama yako kuku?!"

MTOTO: "Sasa mzee kama mie umeniita kuku nyie mtakuwa nan?!"

No comments:

Post a Comment