Sunday, January 29, 2012

MWIZI

kuna mwizi mmoja aliiba mtaa flan iv wakaanza kumkimbiza mwizi akimbilia makabulini akafika akaaa juu ya kabuli akavua nguo zote wale raia walipofika pale wakamiliza umeshamuona mwizi anapita hapa jamaa akawjibu yani ndo nimeamka sasa iv kwasaabu ndanikunajoto ilembaya mmmmh raia walivo sikia ivo kilia mtu nanjia yake

No comments:

Post a Comment